spot_img
Thursday, April 18, 2024
spot_img
spot_img

Video:A 40 yr old teacher marries a student

 

Kweli Kenya imeharibika and morals gone to the dogs.Mwalimu mmoja wa shule ya msingi jijini mombasa ametiwa nguvuni na maafisa wa polisi kwa kushukiwa kuishi na mwanafunzi wake kama mume na mke msichana mwenye ana umri wa miaka kumi na mitatu . Msichana huyo aliyefanya mtihani wa darasa la nane mwaka jana amepatikana hii leo bada ya kupotea kwa siku kadhaa kutoka nyumbani kwao na kusema kuwa amekuwa akiishi na mwalimu wake katika majumba ya kulala mjini humo .

- Advertisement -

 

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisement -spot_img
- Advertisement -spot_img
- Advertisement -spot_img
- Advertisement -spot_img
- Advertisement -spot_img
- Advertisement -spot_img

Latest Articles